Mamlaka ya Biashara chini (Tantrade)
imewatadharisha wafanyabiashara wanaofanya
Maonesho ya Bidhaa zao nje ya nchi pasipokuwa na
idhini ya Mamlaka hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari na wahariri wa
vyombo vya Habari jijini Dar es Salaam Mkurugenzi
wa Mamlaka ya kibiashara ya Tanzania (Tan trade)
Latifa Khamis amesema kwa mujibu wa sheria 4 ya
taasisi hivo inazuia Taasisi kufanya maonesho ya
kibiashara va bidhaa nie va nchi pasipo kuwa na
kibali cha Mamlaka hiyo.
Latifa Mohamed amesema Lengo la sheria hiyo
nikudhibiti na kukuza taswira va nchi na sekta va
Bidhaa na kibiashara nie va nchi.
Akizungumza Kwa niaba ya wahariri na vombo vya
habari Neville Meena ameshauri mamlaka hiyo kutoa
taarifa maalum ambayo itasaidia jamii Ili kupunguza
taarifa zisizo sahihi katika mitandao ya kijamii.
